Opposition leader Raila Odinga was today embarrassed in Kericho by residents.
During his tour to the county, Raila tried in vain to excite villagers, their responses shocked him.
Below is how he was treated.
Baba: Si mumeona vile wakulima wa mahindi wamenyanyaswa?
Crowd: Hatujaona…
Baba: Si munaona vile Uhuru amewadhulumu wakulima wa majani chai?
Crowd: Uongooo!
Baba: Hii barabara mimi na kibaki ndiye tulifanya tender, si munajua hiyo?
Crowd: Hatujui na hatutaki kujua
Baba: Pthoo…wacha mwenzangu Ruto aseme kidogo..
Isaac Ruto: Nachaaa…watu yangu ya Kericho, mapwenyenye ya chupili wamepora hii nchi kabisa…ama?
Crowd: unamaanisha vile umepora Bomet county ama?
Ruto: Hii mukutano ta kwisha…hatukubali mchezo hapa..hala
Crowd: Si iishe? Kwani tunakula kwako? Hala