Ukitaka bibi yako arudi baada ya kutoroka,usimwedee,tumia huu ujanja.

560

Kama bibi yako ametoroka,usiwe na shaka,atarudi tu.Fanya hivi.Go to the market na ununue nguo za ndani kubwa kubwa kama sita.

Bring the clothes to your house and early in the morning before anyone is up,anika hapo nje ya nyumba.Then go to your house and relax.

After some time, wamama wa ploti watampigia bibi yako simu to tell her about the new woman in your house. Your wife will come falling over herself…and that’s how easy you’ll resolve your differences.

Ujanja mwingine ndio huu:

Ukitaka kujua kama Boyfie/galfy/wife/huzzy yako ni LOYAL,,yani Faithful…tengeneza pseudo account facebook,,weka tupicha tuwili tutatu then enda anza kumkatia na hio account!!trust me a loyal woman/man won’t even reply,,lakini Malaya na Tudinya lazma wataenda with the flow wakiimagine Nunu na Mtree mgeni!!!jinga kabisa!!mkatie mpaka mpange siku ya kupatana,,then mpange mahali ya kupatana and everything.ikiwezekana tafuta namba mpya mpee muongeange.mpange halafu hio siku utoklezee kwa “Date” yenu like a boss!!uone vile mtu wako mwenye umeishi kufikiria ww peke yake ndio anapenda vile atahara mercury,copper na mwishoe achew black out ju ya kuona unakaa miaaaow za Nakuru!!

Ujanja wa mwisho:

Mkikosana na baba yako na unataka ajutie,fanya hivi.

Go and save your number in his phone as “Caro wa lodging”.Then when they are sleeping with your mother,call him.Wait to see someone cry.