Media personality Tony Kwalanda has spoken about how his relationships with actress and content creator Joyce Maina ended.
Kwalanda, who confessed to loving Joyce beyond measure, said cultural difference in naming children was the main reason the two parted ways.
Kwalanda: Joyce alisema, โMtoto wangu wa kwanza, mi nataka nimwite hivi, wa pili nataka nimwite hivi, watatu, nataka nimwite hivi. Ah!โ Nikamsikiza tu na nikamwambia, โUnajua sasa sisi Wakabras kule Malava, sisi wanaume ndio tunaname watoto.โ Joyce akasema, โAh! Mimi ndio carrier. Unidunge mimba halafu ukuje useme unataka kuwapatia watoto majina? Nitamwita jina langu, upende usipende.โ

โNikaona tukiendelea, tutakuwa na shida. Niliona kama jina peke yake inaweza kuleta shida, there could be another problem. Pia, ilimsikia akisema akiwa na mimba, siku moja nimekuja nyumbani nataka unipikieโฆ Ninajua kupika na ninaweza kupika kwenye ndoa, lakini baadhi ya wanaume hatupendi kuambiwa ama kukumbushwa,โ Kwalanda added.
















