Raila Skips Wetangula’s Presidential Bid To Visit Magufuli in Tanzania

444

 

Former Prime Minister Raila Odinga visited Tanzanian President Magufuli on Saturday after skipping Moses Wetangula’s Presidential bid.

A Statement from Tanzania read in Swahili:

“Rais mtarajiwa wa kenya Raila Amolo Odinga amemtembelea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli aliyopo mapumzikoni katika Kijiji cha Kilimani, Wilaya ya Chato Mkoani Geita.

Rais Odinga ambaye ameongozana na mkewe Mama Ida Odinga na Binti yake Winnie Raila Odinga, wametua kwa Helkopta katika uwanja wa Shule ya sekondari ya Chato leo tarehe 02 April, 2016 majira ya saa 11 jioni na baadaye kuelekea nyumbani kwa Rais Magufuli ambako wamepokelewa na wenyeji wao Rais Magufuli mwenyewe na Mkewe Mama Janeth Magufuli”.

The CORD leader was scheduled to attend Wetangula’s most important function on Saturday but insetad visited Magufuli who is on holiday.

However, Raila sent Kakamega Governor Wycliff Oparanya to speak on his behalf.

Violence was witnessed in Wetangula’s ceremony where one man was seriously injured.

raila magufuli