Getrude Kalondu,the woman who accused former Security Minister,Ole Metito of having sex with her without paying has been arrested.
Getrude was arrested yesterday in Nairobi,few hours after her post appeared on Kilimani Mums.
While in the cell,Getrude asked for forgiveness and confessed he was paid by another politician to turnish the MP’s name.
“Naomba msamaha kwa kumharibia Mhesh Katoo ole Metito jina. Nataka kusema nililipwa na mwanasiasa mmoja niandike yale maneno niliandika jana. Simjui Mhesh Katoo na sijui hata Emali ni wapi. Niliandika tu vile niliambiwa baada ya kulipwa 30k. Najuta sana na naomba msamaha. Naomba msamaha kwa jamii ya wakamba pia sababu ya kusema mimi ni mkamba na kuwaharibia jina, mimi sio mkamba. Saa hii imeshikwa na polisi hata ingawa huyo mwanasiasa aliye nilipa alikuwa ameniambia siwezi julikana na siwezi patikana na police. Naomba serikali inisamehe na waniachilie sababu wazazi wangu ni maskini na hawana pesa na mimi ni mwanafunzi wa college. Naomba msamaha, mbele yenu na mbele ya Mungu. Ile account nilikuwa natumia jana ilifungwa na Facebook”,said Getrude in a Facebook post.
Getrude had accused the MP on Facebook of disappearing after feasting on her. But she was later to be arrested.Here is what she wrote.